Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unahitaji mzee sana? Okay kila la kheri ChiefAwe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50...
Awe mfanyakazi mawasiliano PM
Wakongwe kaziniiiiiiAwe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50...
Awe mfanyakazi mawasiliano PM
Hahaah kumbe umemgundua haraka mkuuUnataka kiinua mgongo Mwamba au
Ukweli ni kwamba idadi ya bikira imepungua sana siku hizi kulinganisha na zamani... baadhi ya sababu ni malezi ya wazazi wenyewe kutokufuata maadili, utandawazi unaowafanya mabinti wawe huru kufanya watakavyo...kuiga na kufanya mambo bila kufikiri.... waulize wanaooa sasa hivi kama wako wanaokutana na bikira naamini asilimia 99%99 wanakuta mambo yalishaharibika siku nyingiiiii...Awe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50...
Awe mfanyakazi mawasiliano PM