Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Au huenda ata awe na mgahawa tu si ni mfanyakazi pia au sio ajira?
 
Awe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50...
Awe mfanyakazi mawasiliano PM
Ukweli ni kwamba idadi ya bikira imepungua sana siku hizi kulinganisha na zamani... baadhi ya sababu ni malezi ya wazazi wenyewe kutokufuata maadili, utandawazi unaowafanya mabinti wawe huru kufanya watakavyo...kuiga na kufanya mambo bila kufikiri.... waulize wanaooa sasa hivi kama wako wanaokutana na bikira naamini asilimia 99%99 wanakuta mambo yalishaharibika siku nyingiiiii...



Hii comment yakoo 2013 wanaume walipoona wakajua huyu kungwi
 
Back
Top Bottom