mkushi wa kushi JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 657 Reaction score 993 Apr 10, 2024 #2 Fursa hiyo dada zetu huyu sio wale wa KATAA NDOA
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 14,949 Reaction score 54,485 Apr 10, 2024 #3 Umri umeninyima mume😎
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #4 ephen_ said: Umri umeninyima mume😎 Click to expand... Kama umezidi 30 noo ila kama uko below 30 ni Dm
ephen_ said: Umri umeninyima mume😎 Click to expand... Kama umezidi 30 noo ila kama uko below 30 ni Dm
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 14,949 Reaction score 54,485 Apr 10, 2024 #5 Atukuzwee said: Kama umezidi 30 noo ila kama uko below 30 ni Dm Click to expand... Nina 31! Mwaka 1 mbona hata sio nyingii
Atukuzwee said: Kama umezidi 30 noo ila kama uko below 30 ni Dm Click to expand... Nina 31! Mwaka 1 mbona hata sio nyingii
yellow java JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 1,228 Reaction score 2,234 Apr 10, 2024 #6 Hujasema kuhusu dini bobby..usije ukasumbua dada zetu aisee. Yaani unahitaji mke mwenye dini yoyote?
Y Yaleyale JF-Expert Member Joined Aug 21, 2011 Posts 1,793 Reaction score 2,401 Apr 10, 2024 #7 Mama wa mtoto yuko wapi? Au na yeye atakuja na mada ya kutaka mume!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Apr 10, 2024 #8 Mama wa mtoto yuko wapi dear, vikao vyote vimesisitiza kuona tuta kwanza.....
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #9 ephen_ said: Nina 31! Mwaka 1 mbona hata sio nyingii Click to expand... Sasa wewe huoni tumelingana umri? Utazeeka uniache
ephen_ said: Nina 31! Mwaka 1 mbona hata sio nyingii Click to expand... Sasa wewe huoni tumelingana umri? Utazeeka uniache
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Apr 10, 2024 #10 Mbona hauja weka uzito mkuu , Una kg ngapi?? Wadada wa JF wengi wanapenda wanaume vibonge 🤒🤒
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #11 yellow java said: Hujasema kuhusu dini bobby..usije ukasumbua dada zetu aisee. Yaani unahitaji mke mwenye dini yoyote? Click to expand... Dini yeyote sibagui dini
yellow java said: Hujasema kuhusu dini bobby..usije ukasumbua dada zetu aisee. Yaani unahitaji mke mwenye dini yoyote? Click to expand... Dini yeyote sibagui dini
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #12 Evelyn Salt said: Mama wa mtoto yuko wapi dear, vikao vyote vimesisitiza kuona tuta kwanza..... Click to expand... Alishaolewa Mwaka 2021
Evelyn Salt said: Mama wa mtoto yuko wapi dear, vikao vyote vimesisitiza kuona tuta kwanza..... Click to expand... Alishaolewa Mwaka 2021
Dr Restart JF-Expert Member Joined Jul 15, 2021 Posts 4,949 Reaction score 24,046 Apr 10, 2024 #13 ephen_ said: Umri umeninyima mume😎 Click to expand... Upo below? Watoto mnafanya nini humu?
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #14 Yaleyale said: Mama wa mtoto yuko wapi? Au na yeye atakuja na mada ya kutaka mume! Click to expand... Alushaolewa Mwaka 2021
Yaleyale said: Mama wa mtoto yuko wapi? Au na yeye atakuja na mada ya kutaka mume! Click to expand... Alushaolewa Mwaka 2021
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Apr 10, 2024 #15 ephen_ said: Umri umeninyima mume😎 Click to expand... chini ya 25 sio mbaya 😊, anaweza akakubali...
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Apr 10, 2024 #16 Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Apr 10, 2024 #17 Hivi hiyo 'HOFU YA MUNGU' ambayo huwa naona kwenye kila tangazo la kutafuta mwenza huwa inasomewa wapi au inauzwa wapi?
Hivi hiyo 'HOFU YA MUNGU' ambayo huwa naona kwenye kila tangazo la kutafuta mwenza huwa inasomewa wapi au inauzwa wapi?
Atukuzwee Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 125 Reaction score 239 Apr 10, 2024 Thread starter #18 Numbisa said: Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best Click to expand... Mtoto anaishi na mama yake
Numbisa said: Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best Click to expand... Mtoto anaishi na mama yake
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Apr 10, 2024 #19 Numbisa said: Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best Click to expand... Wewe ulishaolewa?
Numbisa said: Single dad anatafuta hausgel wa kulea mwanae. All the Best Click to expand... Wewe ulishaolewa?
Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,637 Reaction score 47,413 Apr 10, 2024 #20 ephen_ said: Umri umeninyima mume😎 Click to expand... Foji Cheti Cha kuzaliwa, unafeli wapi? 😅