No offense though......
Kama mtu umeshindwa kupata mchumba hatimaye mke kwenye sehemu potential zoooooooooote - shuleni, chuoni, kazini, kanisani, msibani, kwenye harusi, msikitini, mtaani kwako, mtaani kwa baba/mama yako, jirani zako etc etc, na utegemee kupata mke kwenye mtandao, THEN kuna tatizo somewhere, tena tatizo kubwa.
Hawa wa kwenye mtandao ndo walewale unaojaribu kuwakimbia huko uraiani - na kama wa ''uraiani'' hawafai, then hawa hawafai pia.