Natafuta mke wa kuoa:

KAKAMPOLE

Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
15
Reaction score
0
Natoa shukrani zangu kwa wanaJF wote waliotoa ushauri ktk hili nitaufanyia kazi ila nina historia ndefu na ya kuhuzunisha sn naumia sn ninapoikumbuka na ninapomuona mwanangu machoz yananitoka kwa kile ambacho mama yake amemfanyia. Nipatapo nafasi nitaiandika japo kwa ufupi ndipo mtanielewa kwann natafuta mke kwa wakati huu pia nitahitaji ushauri wenu.... Pia kwa yule dada atakayekuwa tayari tuwasiliane kwa email: kakampole2012@gmail.com nitampa namba yng ya sim..
 
Nami nataka kutafuta mchumba humu humu, linilipukie bomu,
 
Na wewe ulimfanyia nini mama mtoto wako hadi akaondoka? In your version pls!
 
kiukweli una kurupuka kisa kulea mtoto kazi ndo muwe mnatuheshimu ata ivo nakuombea heri kutafuta uyo mke ningekuwa mm ndo wewe ningekuwa na subira sasa ivi utapata wa kukutesea mwanao
 
kiukweli una kurupuka kisa kulea mtoto kazi ndo muwe mnatuheshimu ata ivo nakuombea heri kutafuta uyo mke ningekuwa mm ndo wewe ningekuwa na subira sasa ivi utapata wa kukutesea mwanao

Ushauri wako nimzuri bora asubiri mwanae akue.hakuna mwanamke anayeweza kulea mtoto ambaye hajamzaa yeye hata kama nayeye ana mtoto
 
Acha kuwachezea wanawake wana muhimu wake, sasa wewe ulishafunga nae ndoa na wataka mke mwingine wewe ni mwislam?
 
Utampata tu wa kukulelea mwanao wapo wengi tu wanaopenda watoto wa kulea usjali kaka vuta subra mungu atakupa alie mwema, ila ungeweka na namba ya sim wengine hawana email
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…