Wustenfuchs
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 313
- 167
kwa mtazamo wangu ni bora ukawa unacmamisha unatongoza wenye hzo cfa maeneo unayoishi au unayotembelea, kwa sabab unapata pia na nafasi yakuchunguza mambo yake mengine, kabla yakujicommite kumwoa au la. Ni vizuri kutangaza ni maana utapata wengi wanaosaka nafasi na fulsa kama hzi.,.. Ila kumbuka
kwenye msafara wa mamba...... Nakuombea heri
mkuu naona umepitwa na kale ka-msemo "imperfection makes beauty" .naona umefunguka vigezo kibao kitu ambacho kwa uhalisia huwezi pata exact match. ...kila laheli mkuu!