chikongolo
Member
- Aug 5, 2016
- 6
- 2
Mmmmhhhhmie mfupi na mnene kias vipi naruhusiwa kuingia kwenye battle
Mmmmhhhh
Poa we jipime tumbona unaguna mkuu ? kulikoni? nami ni mpweke!hujui kiatu nikivaacho
ndo nataka mtoa mada anifkirie na mm jaman !kwan wafupi hatuna haki ya kupendwa?Poa we jipime tu
usijali atakufikiria tu make naye anatafuta hivyo mmeshakutanando nataka mtoa mada anifkirie na mm jaman !kwan wafupi hatuna haki ya kupendwa?