Flavian56780
New Member
- Jul 3, 2023
- 2
- 7
Inawezekana na wewe una shida. Haiwezekani katika nyuzi tatu zote umekosa hata mmoja.JamiiForums hakuna mke. Tangu mwaka juzi Nimeleta nyuzi 3 kwa nyakati tofauti. Bila bila
Huna bahatiJamiiForums hakuna mke. Tangu mwaka juzi Nimeleta nyuzi 3 kwa nyakati tofauti. Bila bila
Njoo inboxHuna bahati
Mimi sijawaduh hv mnapataga wake humu kwel?
Mimi sijawa
Habari,
Natafuta mke, nipo serious. Umri ni miaka 29 mpaka 35.
Dini: Mkristu na kabila lolote. Nina umri 36 na nimejiajiri pia.
Karibu PM.
Wanakuja ila wakubwa mno. Unakuta mtu kanizidi miaka 8Inawezekana na wewe una shida. Haiwezekani katika nyuzi tatu zote umekosa hata mmoja.
Jitathmini ulipopunguka.
Age is just a number bro...Wanakuja ila wakubwa mno. Unakuta mtu kanizidi miaka 8
Sasa wewe si mjumbe kamatu ya kataa ndoa🤣😁🤣😁🤣 mnadhani mabinti hawaoni??JamiiForums hakuna mke. Tangu mwaka juzi Nimeleta nyuzi 3 kwa nyakati tofauti. Bila bila