Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye kudhaa hapo ndio nimekwamaAmbao hamjaolewa mume huyo, uwe tu na uwezo wa kudhaa.
Duh! Paragraph mbili tu lakini umeonyesha ukali na ubabe! [emoji3][emoji1]Kila la heri!Mi nikijana wa miaka kati ya 27 had 34 nimeoa na nina watoto wawili, nimekuja kwenye jukwaa hili nikiitaji mke wa pili yaan bimdogo, na sababu za kutafuta mke, wa pili moja niko na miradi ambayo inaitaji usimamizi mke jambo la pili napenda sana watoto yaan angalau nataka niwe na watoto japo 8 hivi, mke wangu nilie nae kaambiwa mwisho wa kuzaa watoto 3 anamatatizo kidogo ya uzazi,
Kwahiyo alie tayari aje pm kigezo cha mwanamke wa pili uwe tu na uwezo wa kudhaa, kuhusu tabia, rangi, sura, kwangu havina nafas hata uwe na tabia za kininja kwangu utanyoka, kuhusu mali usiwe mpenda vikubwa, usije ukanifilisi, tu mirad twangu ulidhike, hapa mungu utamjua, yesu utamjua, bar utaenda na kwa waganga utaenda, niko serius kwa hilo kama kweli waitaji kuolewa
nibarikiwe ameen, nipewe na maua yangu, asantee, mpaka sasa hata pm hakuna alie jitokezaDuh! Paragraph mbili tu lakini umeonyesha ukali na ubabe! [emoji3][emoji1]Kila la heri!
Hakuna haja mmoja! Punguza ukali [emoji3][emoji3]nibarikiwe ameen, nipewe na maua yangu, asantee, mpaka sasa hata pm hakuna alie jitokeza
mmmMi nikijana wa miaka kati ya 27 had 34 nimeoa na nina watoto wawili, nimekuja kwenye jukwaa hili nikiitaji mke wa pili yaan bimdogo, na sababu za kutafuta mke, wa pili moja niko na miradi ambayo inaitaji usimamizi mke jambo la pili napenda sana watoto yaan angalau nataka niwe na watoto japo 8 hivi, mke wangu nilie nae kaambiwa mwisho wa kuzaa watoto 3 anamatatizo kidogo ya uzazi,
Kwahiyo alie tayari aje pm kigezo cha mwanamke wa pili uwe tu na uwezo wa kudhaa, kuhusu tabia, rangi, sura, kwangu havina nafas hata uwe na tabia za kininja kwangu utanyoka, kuhusu mali usiwe mpenda vikubwa, usije ukanifilisi, tu mirad twangu ulidhike, hapa mungu utamjua, yesu utamjua, bar utaenda na kwa waganga utaenda, niko serius kwa hilo kama kweli waitaji kuolewa