Natafuta mke wa pili

Jamani kwani wewe na wanaoishi mtwara mnatofauti gani?
Ukiumwa hospitali zipo, beach ipo, oxygen ipo na ata ukiiba jela zipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🥱
 
Na neno lipo ili litimie,,,Maneno tuu bila vitendo tusingeelewa vyema na ndio Maana Neno lisipotimia kwako,,,ujue litatimia kwa mwingine,,Na kwenye maisha lazima wote tutimize Neno kwa namna yoyote ilee na katika Hali yoyote ile na ulimwengu ndio utaendelea vivyo hivyo vizazi na vizazi kwa kupokezana!!
 
Katika imani ya dini ya kiislamu tumehimizwa kuoa wake wanne na imeshindikana kabisa uoe mmoja
Mnaenjoy sana wenzetu yaani hadi wake wanne mbona bonge la burudani
 
[emoji38][emoji38]tena hiyo ndiyo umekokotezwa na ukiwa nao hao hata presha huna
Kabisa wee ni kufurahi tuu na wake zako. Ila dah inabidi mwanawane uwe upo fit. Kugegeda mbususu nne sii mchezo unaweza kondeana🤣🤣🤣🤣
 
Maranyingi ukimpata wa ridhaa yake inakuwa rahisi kuishi nae
 
Kabisa wee ni kufurahi tuu na wake zako. Ila dah inabidi mwanawane uwe upo fit. Kugegeda mbususu nne sii mchezo unaweza kondeana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikubwa usiwe wa kula chips na miguu ya wale jamaa wanaokuzwa kwa umeme[emoji15]
 
Kikubwa usiwe wa kula chips na miguu ya wale jamaa wanaokuzwa kwa umeme[emoji15]
Kwa ufipi ni kwamba sie wenye vibamia fusijaribu kabisa hii kitu.
Aise wanaume wa dar sii ndio mdebwedo.....hii nona tuwaachie wasukuma maana mijamaa ile ina nguvu balaaa
 
Kwa ufipi ni kwamba sie wenye vibamia fusijaribu kabisa hii kitu.
Aise wanaume wa dar sii ndio mdebwedo.....hii nona tuwaachie wasukuma maana mijamaa ile ina nguvu balaaa
Na makonde tribe wala ming'oko yaani underground eaters[emoji3062]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…