Hana akili huyoSuleman alipooa wanawake mia saba, uliaambiwa waliotangulia walikuwa na kassoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili huyoSuleman alipooa wanawake mia saba, uliaambiwa waliotangulia walikuwa na kassoro
Hana shida yeyote ni maamuziMke mkubwa ana shida gani ?
Nayo pia inaweza kuwa sababu sitaki kuchepukaNyege tu hana lolote
Sasa si utafute mwenyewe mke hadi utafute mtandaoni. Nyie waislam bana...kuna mmoja rafiki yangu katafutiwa mke wakamuolea kabisa yeye hakuwepo. Karudi kakuta mke tayari...hawajakaa hata mwaka wameachana.Nayo pia inaweza kuwa sababu sitaki kuchepuka
Suleman alipooa wanawake mia saba, uliaambiwa waliotangulia walikuwa na kassoro
Ndio ukubwa labda uoe malaikaMatukio kawaida katika ndoa
Jamani kwani wewe na wanaoishi mtwara mnatofauti gani?Umeona m nafaa kuishi mtwara😂
Kwani wenye moja uadilifu upo au ni yale yale? Wakristo wasinge kua wanaachana kwa funjo.sunna pekee mliyoiona ni hiyo kuongeza mke wakat uadilifu kwa wake zenu ni zero
Mh we ulienda kwanJamani kwani wewe na wanaoishi mtwara mnatofauti gani?
Ukiumwa hospitali zipo, beach ipo, oxygen ipo na ata ukiiba jela zipo🤣🤣🤣
Mm uke wenza sio shida. Ishu ni unakuta mume hawez hudumia familia mbili. Unakuja kuachika tenaJamani kwani wewe na wanaoishi mtwara mnatofauti gani?
Ukiumwa hospitali zipo, beach ipo, oxygen ipo na ata ukiiba jela zipo🤣🤣🤣
Kupata mke sahihi haina formula ni bahati nasibu.Sasa si utafute mwenyewe mke hadi utafute mtandaoni. Nyie waislam bana...kuna mmoja rafiki yangu katafutiwa mke wakamuolea kabisa yeye hakuwepo. Karudi kakuta mke tayari...hawajakaa hata mwaka wameachana.
Raha ya mapenzi umuone mtu aanze kukuvutia wewe mwenyewe...huku mtandaoni wengi wapo desparate unaweza kuokota bomu...
Huko unapoishi hakuna wanawake?
Duh hayaKupata mke sahihi haina formula ni bahati nasibu.
Kuna rafiki yangu ka date na mke wake miaka sita mwaka wa saba wakafunga ndoa mwaka wanane sasa wanakutana mahama mke anadai divorce paper.......hiyo ndo ndoa sasa.Duh haya
Mambo ya ndoa mkimuweka Mungu mbele ndo mtaweza dumuKuna rafiki yangu ka date na mke wake miaka sita mwaka wa saba wakafunga ndoa mwaka wanane sasa wanakutana mahama mke anadai divorce paper.......hiyo ndo ndoa sasa.
Mbona hata ndoa za wafungisha ndoa ma imamu mapadiri na zenyewe ni mtihani ndoa acha tu, sio mchezo ni bahati nasibu....Mambo ya ndoa mkimuweka Mungu mbele ndo mtaweza dumu
Alooo...kweli wewe wife material maana wanawake wengi wa imani ya kiislam hawataki uke wenza.Mm uke wenza sio shida. Ishu ni unakuta mume hawez hudumia familia mbili. Unakuja kuachika tena
Sasa hao mbona the writing was on the wall kabisa.Kuna rafiki yangu ka date na mke wake miaka sita mwaka wa saba wakafunga ndoa mwaka wanane sasa wanakutana mahama mke anadai divorce paper.......hiyo ndo ndoa sasa.