High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
nale mubalabala najile gogohaya golenkimoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaaaaa, sionji bila ndoa. halafu remy ww mwenyewe ndio ulinikataa.
sababu sitosheki kwa mke wangu (kitandani, mie nataka bao nne yeye moja tu na hataki kuendelea na mchezo) ndio maana nataka kuongeza mwingine
aisee kama gukuye alioa wengi na wewe pia?ukifikisha 40 utakuwa na wangapi?lazima wewe utakuwa wa ntuzuibholo lyang'waso uliniwela nale malaya ugukuyo akatola bakima bhangaa?
Brother mbona una ubaguzi? Na sisi wana NCCR mageuzi, CUF na TLP tungependa kutajwa tajwa kama ulivyofanya hapo kwenye blue..!miaka 32 sio mtu wa makamo ni kijana sana. umri huo bado ni memba halali wa bavicha au uvccm 🙂
ibholo lyang'waso uliniwela nale malaya ugukuyo akatola bakima bhangaa?
Mmmh! Baghosha!
Brother mbona una ubaguzi? Na sisi wana NCCR mageuzi, CUF na TLP tungependa kutajwa tajwa kama ulivyofanya hapo kwenye blue..!