Natafuta mke wa pili

miaka 32 sio mtu wa makamo ni kijana sana. umri huo bado ni memba halali wa bavicha au uvccm 🙂
Brother mbona una ubaguzi? Na sisi wana NCCR mageuzi, CUF na TLP tungependa kutajwa tajwa kama ulivyofanya hapo kwenye blue..!
 
Wewe kabila gani na lugha gani unayozungumza maana mnatutukana wewe na ndugu zako
 
Naona tayari kishaeleweka wanalonga kiluga sasa mwanakungumbala na iholomela, hongereni.
 
Brother mbona una ubaguzi? Na sisi wana NCCR mageuzi, CUF na TLP tungependa kutajwa tajwa kama ulivyofanya hapo kwenye blue..!

aah ubaguzi niutoe wapi bro? ukiona nimebana kimya ujue vigezo vya jumuiya za vijana nccr-mageuzi, cuf, tlp, tadea na wengineo sivijui. hao bavicha na uvccm habari zao zimekuwepo sana humu mtandaoni ndio maana nafahamu vigezo vyao. 🙂
 
hivi kwa nini wasukuma wanapenda kuoa mke zaidi ya mmoja?:nimekataa
 
unaolewa na mwanaume ama kiasi cha pesa alichonacho benki? Anayetafuta pesa aende akajiuze barabarani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…