Haharibu nhuyo anatengeneza, kwani hujasikia hata Merekani na Ulaya wimbi la wanaosilimu limekuja baada ya Septemba 11.
kwa hiyo hujali wanaopaka choo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haharibu nhuyo anatengeneza, kwani hujasikia hata Merekani na Ulaya wimbi la wanaosilimu limekuja baada ya Septemba 11.
wewe ndoa ya tatu,mwenzio akiwa ndio ya kwanza na anataka mambo makubwa itakuwaje maana ndoa ni ile ya kwanza bwana hizi nyingine ni ndoa lakini ya kwanza ndio yenyeweSijawahi kuchangiwa hata mke mmoja kati ya wawili niliooana nao na haitokuwa hivyo kwa huyu wa tatu na wala huwa sichangii harusi, never, sioni mantiki yake.
Mnyamwezi masikini vile naogopa kulima maana sijaona faida za kuwa mkulima Tanzania,ila ulikuwa ugonjwa wangu huo
wewe ndoa ya tatu,mwenzio akiwa ndio ya kwanza na anataka mambo makubwa itakuwaje maana ndoa ni ile ya kwanza bwana hizi nyingine ni ndoa lakini ya kwanza ndio yenyewe
usimtaje huyo bwana maana utakosa mke wa tatu,mie moja ya sharti la kunioa ni kichwa cha huyo bwana,sasa wewe tena ndio mpaka pesa zake kakupa sijui itakuwaje!!!
Hajanipa, kanikopesha na nimesha mlipa. Aaah ni ndgu yangu kabisa, sasa wewe unasikia maneno ya watu kuwa RA ni hivi, ni vile, usisikie cha kuambiwa, si bora ukija utakutana nae na utamueleza yote yanayokukera kwake na utapata kusikia naye anasema nini. In short, he is one of very few good peoples.
nashukuru kwa mwaliko,ntajitahidi nihudhurie huko
MH..................!!!!!!!!!!!!!!!:smash::smash::smash:
Hasira hasara jamani,wala siendi namtania tu,mwenyewe ana miaka 60 hata babangu mzazi kijana
maana nnaogopa bwana,isijekuwa kweli kakwapura za watz,dhambi yake itasambaa kwa kila aliyeonja thumni yake,na baadae kwa vizazi vyao,sasa nsije zaa majambazi na makahaba kumbe chanzo dhulma
Watu na kazi zao. Kisa cha kufia presha na wanawake hawa wa kileo. Mmoaja balaa. Hao wanne utawaweza kweli?