Natafuta mke wakuoa

Natafuta mke wakuoa

Lover2022

Member
Joined
Jun 10, 2022
Posts
8
Reaction score
13
*Hello Wana JF,
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️



Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji



Sifa ya mke ninaye mtaka.

~ Awe na umri 28-30.

~ Elimu siyo kipaumbele changu.

~ Dini yeyote

~ Kabila lolote.

~ Akiwa na mtoto haina shida, akiwa hana napo sawa.

~ Awe na mapenzi ya kweli.

~ Awe yatatu kupima afya.



Karibu njoo PM tuyajenge.*
 
*Hello Wana JF,
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]



Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji



Sifa ya mke ninaye mtaka.

~ Awe na umri 28-30.

~ Elimu siyo kipaumbele changu.

~ Dini yeyote

~ Kabila lolote.

~ Akiwa na mtoto haina shida, akiwa hana napo sawa.

~ Awe na mapenzi ya kweli.

~ Awe yatatu kupima afya.



Karibu njoo PM tuyajenge.*
Nenda love connect
 
Back
Top Bottom