YAHERI MUNGU
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 318
- 215
Kwavi boti za uvuvi, mazizi ya mifugo na vyeti ndo vinavyo oa??Weka mazagazaga yako hapa! Kama ni mvuvi una boti ngapi, kama ni mfugaji una mazizi mangap? Kama ni msomi una vyeti gani? sema usikikeeee
Nina baskeli moja na radio moja ya mbao!!Weka mazagazaga yako hapa! Kama ni mvuvi una boti ngapi, kama ni mfugaji una mazizi mangap? Kama ni msomi una vyeti gani? sema usikikeeee
Kwavi boti za uvuvi, mazizi ya mifugo na vyeti ndo vinavyo oa??
Nina baskeli moja na radio moja ya mbao!!
Mimi ni mtunga sheria na msimamizi wa sheria za nchi.Weka mazagazaga yako hapa! Kama ni mvuvi una boti ngapi, kama ni mfugaji una mazizi mangap? Kama ni msomi una vyeti gani? sema usikikeeee
Mtunga sheria za nchi ni mbunge na msimamizi wa sheria ni Police,mahakama na magereza, sasa wewe ni Nani Kati ya hawa?Mimi ni mtunga sheria na msimamizi wa sheria za nchi.
MahakamaMtunga sheria za nchi ni mbunge na msimamizi wa sheria ni Police,mahakama na magereza, sasa wewe ni Nani Kati ya hawa?
Ziwa silioni kivipi? Kwani wewe unataka kula samaki wa aina gani?Fursa hiii ila sasa kanda ya ziwa naweza furahia ntakula samaki kumbe uko sehemu hata ziwa hulioni
Ziwa silioni kivipi? Kwani wewe unataka kula samaki wa aina gani?
Kuhusu hilo wala usijali, utakula wengi tu kiasi unachokihitajiSato baba nakukuchemshia tusupu sometimes[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kuhusu hilo wala usijali, utakula wengi tu kiasi unachokihitaji
Sawa, karibu sana.Ngoja nichamkie fursa
UKISHINDWANA NAE UNIAMBIE JISISEVIENgoja nichamkie fursa
Nakuja[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Sawa, karibu sana.