DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwa uandishi huu sijui hata kama darasa la saba ulimaliza,any way all the best katika mawindo yakoAssalam alykum .
Hama baada ya salamu naomba nitililike moja kwa moja........
Mimi nikija mwenye umri wa mika 24 ....
Elimu yangu (niyachuo) Diproma ya Hualimu wa Secondary lakin niliupiga chaupuo ualimu nakuamua kuwa Mfanyabishara ambapo namiliki duka languo kaliakoo pia namiliki na bajaji mbili ..... Pamoja na gari ndogo yakutembelea...
Nimefanikiwa kujenga Nina nyumba ya vyumba vinne .... Iko Kigamboni...
Vigezo vya mke Anayehitajika .....
Umri kuanzia miaka 19 hadi 22
Elimu angalau Form four nakuhendelea
Dini Muslim
Rangi yoyote ila asiwe mweusi tiii.
Nidhamu na ukalimu vitampa Credit
Wabongo bana husda zimewajaa.Kwa uandishi huu sijui hata kama darasa la saba ulimaliza,any way all the best katika mawindo yako
HahahahahahaDiproma-Diploma
Hualimu-Ualimu*
Kaliakoo-Kariakoo
Languo- La nguo
Mkuu ww umepata mchumbaHahahahahaha
Hii thread ni kwa bebe tu au unataka huduma ya 071 njoo pm na Ky .Hahahahahaha
ACHA WIVU WAKOOOOO ROHOOO MBAYA TUUUUU...KISA JAMAA KAJIELEZEA KIMAISHA.Kwa uandishi huu sijui hata kama darasa la saba ulimaliza,any way all the best katika mawindo yako
Asee kaja kwa message mtu ninae mjua alikuwaga x wangu hahahMkuu ww umepata mchumba
Mchukue mkuu atakuwa y sasa... -your x love is your future wife/husband-Asee kaja kwa message mtu ninae mjua alikuwaga x wangu hahah
Safi sana mkuuACHA WIVU WAKOOOOO ROHOOO MBAYA TUUUUU...KISA JAMAA KAJIELEZEA KIMAISHA.
IPO ivi....Usiponipenda kwa mwonekano wangu.
Utanipenda kwa pesa zangu.
WANAWAKE CHANGAMKIENI FURSA.
Sure ,unajua JF inawanafiki Sanaa.nasijui kwann.Safi sana mkuu
Tayare mkuu mbona huu ni kama mua niliotembea nao jangwani muda wowote naulaMchukue mkuu atakuwa y sasa... -your x love is your future wife/husband-