Natafuta mke

Natafuta mke

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Assalam alykum .

Hama baada ya salamu naomba nitililike moja kwa moja........

Mimi nikija mwenye umri wa mika 24 ....
Elimu yangu (niyachuo) Diploma ya ualimu wa Secondary lakin niliupiga chaupuo ualimu nakuamua kuwa Mfanyabishara ambapo namiliki duka languo kariakoo pia namiliki na bajaji mbili ..... Pamoja na gari ndogo yakutembelea...

Nimefanikiwa kujenga Nina nyumba ya vyumba vinne .... Iko Kigamboni...

Vigezo vya mke Anayehitajika .....

Umri kuanzia miaka 19 hadi 22
Elimu angalau Form four nakuhendelea
Dini Muslim
Rangi yoyote ila asiwe mweusi tiii.

Nidhamu na ukalimu vitampa Credit
 
Assalam alykum .

Hama baada ya salamu naomba nitililike moja kwa moja........

Mimi nikija mwenye umri wa mika 24 ....
Elimu yangu (niyachuo) Diproma ya Hualimu wa Secondary lakin niliupiga chaupuo ualimu nakuamua kuwa Mfanyabishara ambapo namiliki duka languo kaliakoo pia namiliki na bajaji mbili ..... Pamoja na gari ndogo yakutembelea...

Nimefanikiwa kujenga Nina nyumba ya vyumba vinne .... Iko Kigamboni...

Vigezo vya mke Anayehitajika .....

Umri kuanzia miaka 19 hadi 22
Elimu angalau Form four nakuhendelea
Dini Muslim
Rangi yoyote ila asiwe mweusi tiii.

Nidhamu na ukalimu vitampa Credit
Kwa uandishi huu sijui hata kama darasa la saba ulimaliza,any way all the best katika mawindo yako
 
Nakuhendelea=na kuendelea

MKUU ULIKIMBIA UMANDE HATA CHETI CHA MAPISHI KUTOKA VETA HAUNA.
 
Kariakoo nadhani ndio sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi zaidi Tanzania

Kuanzia wafanyabiashara na wanunuzi.

Umeshindwa kabisa kupata mke hapo mkuu mpaka ukaja kumtafuta humu?
 
Back
Top Bottom