Kama title inavyojieleza,
Sifa: Mchapakazi, mrembo/mzuri, mkristo, umri kuanzia miaka 18-20, si mrefu sana au mfupi sana awe wa kati, awe mtanzania.
Sifa zangu: Umri miaka 25, urefu wa kati, mkristo, maji ya kunde, kama upo ni PM tujuane zaidi, nahitaji watu wenye nia, kama haikuhusu pita kama huoni.