w1w2w3
Member
- Jul 19, 2017
- 31
- 21
Habari natafuta mke wakuoa awe na vigezo vifuatavyo
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua na creative kutafuta pesa.
3: Awe tayari kuishi nje ya nchi
4: Awe anaweza kuongea kiingereza
5: Awe mpishi mzuri wa misosi ya kitanzania......
6: umri miaka 24-28...
7:Awe anajikubali yeye kama African sitaki mwanamke fake anaye abudu western traditions.
SIFA ZANGU HIZI HAPA
1: ELimu masters
2: umri 30
3: Nimejiajiri
4: Basic things nyumba,gari, nk
IF YOUR INTERSTED NICHEKI PM...........
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua na creative kutafuta pesa.
3: Awe tayari kuishi nje ya nchi
4: Awe anaweza kuongea kiingereza
5: Awe mpishi mzuri wa misosi ya kitanzania......
6: umri miaka 24-28...
7:Awe anajikubali yeye kama African sitaki mwanamke fake anaye abudu western traditions.
SIFA ZANGU HIZI HAPA
1: ELimu masters
2: umri 30
3: Nimejiajiri
4: Basic things nyumba,gari, nk
IF YOUR INTERSTED NICHEKI PM...........