Asante mkuu kwa kunisahihisha,,kuwa na degree sio kigezo cha kufahamu kila kituHuwaga hawatafuti mke huwa wanatafuta mchumba.unatafuta mke wa nani au nikupe wakwsngu kwakuwa ninao wawili hiyo bachelor degree yako uliyo nayo bado hufahamu kiswahili ?
Hahahaa kufa mapema kivipi mkuu?mamaaaaaa anataka mchaga[emoji16][emoji16][emoji16]...unataka kufa mapema
IntelligentHuwaga hawatafuti mke huwa wanatafuta mchumba.unatafuta mke wa nani au nikupe wakwsngu kwakuwa ninao wawili hiyo bachelor degree yako uliyo nayo bado hufahamu kiswahili ?