Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 326
kama una dada ambaye bado hajaolewa basi tunaweza kuzungumza tu maana naweza nikawa shemeji yakoKila la kheri
ndo unachowazapuli vp itakufaa?
shukrani sanaIngelikua ndio mdada hapo anatafuta mchumba, kungekua na masharti kibao mara sijui "Asiwe na mashine iliyopinda kushoto" Daah! Hongera bro kila la kheri na mafanikio mema...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo la Madem wa hum ni wapenda Pesa sana....Vp umejipanga Vp kukabiliana na hilo?[emoji41]