Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 326
Heri ya mwaka mpya nyote humu.
Baada ya kuwa single takribani mwaka mzima 2018, katika kuingia mwaka 2019, sitaki kuwa single tena hivyo nimeona ni heri nitafute mchumba ambaye baadae atakuwa mke.
Mimi nna miaka 25. Hivyo naomba huyo msichana atakayekuja asizidi miaka hiyo.
Zaidi ya umri mie sina vigezo vingi ila naomba tu huyo msichana awe angalau na elimu hata ya form 4.
Kama unahisi uko tayari, nicheki PM.
Baada ya kuwa single takribani mwaka mzima 2018, katika kuingia mwaka 2019, sitaki kuwa single tena hivyo nimeona ni heri nitafute mchumba ambaye baadae atakuwa mke.
Mimi nna miaka 25. Hivyo naomba huyo msichana atakayekuja asizidi miaka hiyo.
Zaidi ya umri mie sina vigezo vingi ila naomba tu huyo msichana awe angalau na elimu hata ya form 4.
Kama unahisi uko tayari, nicheki PM.