Kila la kheri mkuu!Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
Ukipata Wengi Naomba M1Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
Hahaaaahaaaa....haya bhanaSingle maza utawapata wengi tu humu, ila maswali yao yatalenga uchumi unaomiliki.
OA ULIYE MZALISHA.....!Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
Mkuu umesahau kipengele cha, Akiwa mchaga itapendeza[emoji28][emoji28] kama ulivyosema kwenye thread yako ya mwaka janaMm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
Hahahaaaaa kumbe unakumbuka mkuu?? Nimepunguza vigezoMkuu umesahau kipengele cha, Akiwa mchaga itapendeza[emoji28][emoji28] kama ulivyosema kwenye thread yako ya mwaka jana