Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha
...mkristo dhehebu lolote..akiwa mroman catholic itapendeza zaidi
.....asiwe mrefu sana
......umri wake kuanzia miaka 21-27
.....akiwa na mtoto mmoja itapendeza zaidi coz na mm nina mtoto mmoja
.....awe na mapenzi ya dhati
Naomba kuwasilisha