Natafuta mke

Natafuta mke

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Mungu alivyomtengeneza Adam akaona ni jambo jema kuwa na mwenza ambaye ni Hawa. Muda wa kukaa upweke naona ufike tamati. Natafuta mke mwema mwenye maadili ya kumpendezesha mungu. Mimi ni mwislam 40+. Natafuta mke mwenye elimu ya kawaida awe ana akili ya kutambua maisha na kuyakabili awe na umri wa miaka 30 mpk 35.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujakutana na walimwengu wewe. Huu ndio muda wa kutulia maana nina watoto tayari natafuta wa kuchunga nae mbuzi na ng'ombe. Nyie vijana mnajua kutanua tu. Karibu shamba uongeze siku kwa kuona mifugo inapandana achana na kushangaa mwendokasi mjukuu wangu. Unakumbuka Mandela alioa nae akiwa mzee. Babu Seya kaoa juzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom