pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Ngoja wajeMimi ni kijana mwenye umri miaka 27, nipo mbele yenu kutafta mwanamke ambae atakuwa mke wangu siku chache zijazo mbele.
Sifa zangu.
Mrefu,umbo la kati sio mnene wala mwembamba,mweusi,pia ninakazi yangu ya kuniingia kipato hapa mwanza
Mwanamke ninaemtafta
Awe mweupe, mrefu wa wasitani,elimu kitato cha NNE na kwendelea dini yeyote, akiwa na kazi au kibarua itakuwa vizuri zaidi..pia awe anapatikana mwanza mjini au kanda ya ziwa
Karibu pm IPO wazi!
Kwaio hutaki mwanamke mweusi..? Vijana wa kanda ya ziwa sijui tuna nini tu na wanawake weusi [emoji23][emoji23]..Mimi ni kijana mwenye umri miaka 27, nipo mbele yenu kutafta mwanamke ambae atakuwa mke wangu siku chache zijazo mbele.
Sifa zangu.
Mrefu,umbo la kati sio mnene wala mwembamba,mweusi,pia ninakazi yangu ya kuniingia kipato hapa mwanza
Mwanamke ninaemtafta
Awe mweupe, mrefu wa wasitani,elimu kitato cha NNE na kwendelea dini yeyote, akiwa na kazi au kibarua itakuwa vizuri zaidi..pia awe anapatikana mwanza mjini au kanda ya ziwa
Karibu pm IPO wazi!
Kitu cheupe kwa msukuma nihatariiii wanapenda wanaweza toa zizi lote la ng'ombe kwa cheupe[emoji23]Kwaio hutaki mwanamke mweusi..? Vijana wa kanda ya ziwa sijui tuna nini tu na wanawake weusi [emoji23][emoji23]..
......Ila mimi nawapendaga sana wadada weusi sijui kwanini!
Kweli mkuu, wasukuma wanapenda wanawake weupe [emoji23][emoji23] sijui huwa wanagundua nini kwa whites...Kitu cheupe kwa msukuma nihatariiii wanapenda wanaweza toa zizi lote la ng'ombe kwa cheupe[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajua wao wanatupendea Nini[emoji23]Kweli mkuu, wasukuma wanapenda wanawake weupe [emoji23][emoji23] sijui huwa wanagundua nini kwa whites...
wanakuja mkuuDah! Sijui kwa nini sina ujasiri wa kufungua uzi wa kutafuta mwanamke wa kuoa humu jukwaani! Yaani nimekua domo zege mpaka nimepitiliza.
Umri unazidi kunitupa! Muda si mrefu na mimi nitakuja na uzi humu kama ule wa Mtemi Kisandu a.k.a Don Nalimison! Huku nikilia lia tu; I haven't a house, I haven't children, I haven't a wife, I haven't money!!
We si umenikataa!Ngoja waje
Utapata mwingine mkuu ucjari kakaangu Mungu nimwema sana humpa kila mtu kwawakati wakeWe si umenikataa!