pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 27, nipo mbele yenu kutafta mwanamke ambae atakuwa mke wangu siku chache zijazo mbele.
Sifa zangu.
Mrefu,umbo la kati sio mnene wala mwembamba,mweusi,pia ninakazi yangu ya kuniingia kipato hapa mwanza
Mwanamke ninaemtafta
Awe mweupe, mrefu wa wasitani,elimu kitato cha NNE na kwendelea dini yeyote, akiwa na kazi au kibarua itakuwa vizuri zaidi..pia awe anapatikana mwanza mjini au kanda ya ziwa
Karibu pm IPO wazi!
Sifa zangu.
Mrefu,umbo la kati sio mnene wala mwembamba,mweusi,pia ninakazi yangu ya kuniingia kipato hapa mwanza
Mwanamke ninaemtafta
Awe mweupe, mrefu wa wasitani,elimu kitato cha NNE na kwendelea dini yeyote, akiwa na kazi au kibarua itakuwa vizuri zaidi..pia awe anapatikana mwanza mjini au kanda ya ziwa
Karibu pm IPO wazi!