Natafuta mke

Nguvu za kutosha unazo lakini??
Sio tu unataka kuongeza papuchi ya pili wakati ukipanda tu kwenye kinena wazungu hawa hapa
 
Nenda Badoo wapo wengi sanaaaaaa yaaaaaaniiii
 
Kila la kheri kiongozi.....haya ma ukhty kazi kwenu!
 
Me bado sijaoa....
Tuyajenge...πŸƒ
 
WEWE MWENYEWE UZI WAKO, UNALIA LIA KUA HUNA MOYO WA KUPENDA UFANYEJE??

ILA WATU BANA...


WEE SIULISEMA HUMU SIKU 2 TU UNAACHANA NA MWANAUME

MARA UNATAKA KUTULIAAA NA MWANAUME MMOJA( ukimaanisha wee ni mtu wa wanaume sanaaa na huenda umejaza kaBus kakutoka Dar-Iringa )

UKASEMA UNA MIAKA 24, ULIWAHI OLEWA ILA UKAACHIKA ...

SASA MPAKA HAPO NANI WAKUA NAWEE????




saizi unamyeyusha Jamaa !!.....


Embu jitafutie Ufumbuzi kwanza wa tatizo lako kisha rudi kwa Jamaa , msipoolewa ndo mnaanza lia lia .




Usipopona na bado ukakosa mume, Njoo kwangu ila mimi ni MWANAUME WA KIKRISTO!!.
 
Mkuu ndo huyu kumbe
daah nilisoma comment yake nikacheka nikasema moyoni hii mikazo ya chemical
 
Mtoto wa kike hasa wa Kiislam inabidi awe na staha... Bila staha hauna tofauti na hao unaowananga hapa. Unatumia maneno makali sana.
 
Zidindishe tena tu
 
Presha unazo ww umetoka utokapo umevurugwa umekuja kudandia tren kwa mbele
Wewe mbona ulicomment kwenye thread ambayo content ulisoma ukaona hazikuhusu au wewe ulikuwa na kinyuma nyuma? Una utoto mwingi halafu unakuwa unahisi kila mwanaume jf anakutaka sas sijui kwasababu ya hiyo avatar yako binti presha. Punguza presha kaa utulie unaruka ruka kama umekalia misumali binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…