Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Hajapata upendo wa dhati ndio maana yupo hivyo,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenichekesh kweli akikusikia Naushin atakwambia JF hakuna wanaume
π π π Unakumbuka thread yangu kuhusu mtoto kutojiamini? Ulisema vitu vina source hata mtu akiwa mdogo. Nilitaka kumuuliza kama kuna ubaya aliwahi kutana nao akiwa mdogo ila nikahofia nitapewa shit za kiwango kikubwa. Maana inaonekana anachukua wanaume wote.Hajapata upendo wa dhati ndio maana yupo hivyo,
Akipata wa kumpenda na kumtuliza ni binti mzuri sana.
Mimi nasoma comment zake napigwa butwaaSijaja kutukanana na wewe binti. Hata hivyo waislamu ninaowajua mimi hawako kama wewe...we sema upo kimboka sasa hivi unasubiria wateja huwezi jua unaweza kupata mteja hata hapa kwenye thread
Nilikwambia kuhusu trauma za abuses, hua zinaishi kwa miaka mingi,[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unakumbuka thread yangu kuhusu mtoto kutojiamini? Ulisema vitu vina source hata mtu akiwa mdogo. Nilitaka kumuuliza kama kuna ubaya aliwahi kutana nao akiwa mdogo ila nikahofia nitapewa shit za kiwango kikubwa. Maana inaonekana anachukua wanaume wote.
Hii inagharimu SanaNimeanza na wewe kwasababu umetumia lugha chafu halafu bado ukajificha kwenye Kivuli cha Cha Uislamu. Facts had to be set straight watu wasije fikiri mabinti wa Kislamu wanatabia kama hizo. Umenielewa binti?
Ndiyo maana sikumuuliza. Ila kama ndiyo maisha yake nje ya JF basi kutakuwa kuna hali anapitia.Nilikwambia kuhusu trauma za abuses, hua zinaishi kwa miaka mingi,
Na ndio kitu ninachokiona kwa huyo binti.
Mbaya Sana hiiNdiyo maana sikumuuliza. Ila kama ndiyo maisha yake nje ya JF basi kutakuwa kuna hali anapitia.
π π wanakuwa sensitive kila kitu wanachukulia ugomvi.Mbaya Sana hii
Mtu wa Aina hii hata kauli zako zuri anazigeuza ziwe mbaya na atakujibu vibaya tu
Mno mno hata ukimwambia nakupenda anaona ni tusi[emoji23] [emoji23] wanakuwa sensitive kila kitu wanachukulia ugomvi.
[emoji16][emoji16][emoji16] hii haikubaliki hata kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti jeshi zima la wokovu
Saint Anne na wewe ukuje
Na hali hii maombi hayawezi kupanda walaEm njoo tuendelee zetu na maombi kondoo wangu
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16] hii haikubaliki hata kidogo
π π π π π πNi mm bado npo akilin mwako nafaka
Not really... Najaribu kuongeza siku za kuishi maana nimesoma sehemu kuwa ukicheka unaongeza siku za kuishi.I've turned laugh stock to u is it
Why are you not happy? Wanasema being happy is a choice. One day nilikuwa naongea na mama flani mchina wanamiliki kiwanda flani hapa dsm. Akaniambia, kinachowashangaza TZ, na tabu zote na umasikini wa watu, lakini wanaonekana wana furaha. So what is eating you?Hongera ww unaeweza kucheka kila siku u are lucky... look like happiness is always around u.. different from us .. happiness comes for a days and left for ages
Why are you full of hate and anger? Did anybody hurt you?Hate and anger inside me
Okay, I understand that... But remember we are like balloons, we need to release some pressure when we are holding too much. Otherwise, we would end up bursting. We do that by sharing. Kwa wenzetu watu hadi wanalipia kusikilizwa na psychologists. I am glad that you are in a good mood. Lakini you will never be free until you talk about it.I don't like speaking about it I'm in good mood
Yes, it will surely help. Yes, of course, but when you share and talk to someone, you will feel much better. That hate and anger that burns inside of you will end. Jaribu uone, because you will never know until you try.U think it will help...past memories will always be there haunting me