Natafuta mke

Mkuu vingine c unafanya kama unajikuna tu [emoji23] ...
Maaana kule jamaa alikuwa anaweza kuchambua tukio kwa picha tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue Rebeca 83 namkosea jibu kamili [emoji23]

Fine yule ni mimi kweli, haimaanisha ndio sipaswi kuyajua, ujana nimeula ula saana, lakini sasa nimeamua dunia kuipa mgongo kweli, na naimani siwezi kumuabudu vizuri mola wangu pasina kuwa na utulivu wa nafsi, na utulivu wa nafsi ni kupata mke mwema kabisa, najijua, haya magumu ninayopitia kiboko yake ni kupata mke mwema..

Mtume Muhammad s.a.w "Dunia ni starehe, na starehe iliyo bora zaidi ni kupata mke mwema"

Ili niipate starehe ya dunia iliyo bora zaidi lazima nipate mke mwema, nipate utulivu wa nafsi,
La sivyo ipo siku ibada zangu nitazitupa kama sukari ndani ya bahari.
 
inshaallah mkuu na sisi tunakufuata ,ila nikisikia neno ndoa sjui kwanini moyo unapasuka pa!
 
inshaallah mkuu na sisi tunakufuata ,ila nikisikia neno ndoa sjui kwanini moyo unapasuka pa!
Ni jambo zito kwa kweli, hasa ikitokea umetoa boko kwenye kuoa, utaona dunia ndio jehannam unayosikia, ila ukipatia mbona unajiona dunia umeumbiwa wewe pekee..

Kuna watu wana enjoy saana katka ndoa, kuna watu kwa ni tabu na karaha..

Kikubwa ni kuomba uongozo mzuri toka kwa mola katika jambo hili zito.
 
Nikiweka picha si itakuwa mvurugano mufti..

Mwishowe watajitokeza wengine hawana nia thabiti, wanafata muonekano wangu mbovu..[emoji1787]
 
Inanibidi na mie nivute jiko tu, huu ujana una mwisho wake ndugu yangu, maisha baada ya umauti ni marefu kichizi kuliko haya ya duniani, ukitafakuri vizuri utagundua vitu kadhaa
Kweli kaka umenena vuta jiko si tuliokwisha oa tutakuja kula ubwabwa
 
Watoto wa mjini wanasema umempa za uso....
 
PM unayoizungumzia wewe private message, prime minister au post meridiem.. [emoji23]

...ha haha hahaha, ungeweza tu kusema hujaona PM yake au alimaanisha Poor Man

BTW, heri ya 2021 mdau na tembelea viwanja va Shababi uungane na maveteran wenzako wa Kigamboni
 
...ha haha hahaha, ungeweza tu kusema hujaona PM yake au alimaanisha Poor Man

BTW, heri ya 2021 mdau na tembelea viwanja va Shababi uungane na maveteran wenzako wa Kigamboni
Labda alimaanisha Power of Mundende..

Shukrani, heri iwe kwetu soote ndugu yangu, Nitasogea, kwanza najifua beach mkuu nipate mwendo kasi.
 
Reactions: Obe

You have always been my crush incase hukujua hili lol
Nasomaga tu comments natikisa kichwa
Mungu akujalie hili litimie[emoji1374]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…