makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
- #101
Amin, nawe akujaalie umpate mwenza wa kufa na kuzikana.Oooh! Hongera sana mkuu. Mungu akujalie ndoa njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amin, nawe akujaalie umpate mwenza wa kufa na kuzikana.Oooh! Hongera sana mkuu. Mungu akujalie ndoa njema
Usijali kaka, tupo pamoja.Hicho kipindi unanitag nilikua nilikua nipo shimoni.
Hongera sana mzee
Mimi ndo ningekua mkeo ningesema ubadilishe line kuwakwepa woooote waliojitokeza.Usijali kaka, tupo pamoja.
Shukrani sana mzee.
Kaka kuwa mpole tu, si unajua dini yangu inaniruhusu wake wa4, hivyo hii ilikuwa ni chaguzi la kwanza, kisha kutakuwa na 2nd selection, 3rd mpaka 4th.Mimi ndo ningekua mkeo ningesema ubadilishe line kuwakwepa woooote waliojitokeza.
Ila kwakua mimi siyo mkeo hizo namba za woooote waliojitokeza niforwardie mimi ndugu yangu.
Huyo mke ulimpata humu?Alhamdulillah ni mwaka sasa umekatika, tarehe kama leo ndio nilichukua jiko.
First anniversary hii, allah ajaalie ziwe anniversaries kibao mpaka mmoja umauti umfike.
Ndiyo,si tangazo lake hiliHuyo mke ulimpata humu?
Acha umbea 🤣🤣Naamini mnaendelea poa
🤣🤣🤣Mawifi tupo very attention 🤭Acha umbea 🤣🤣
Mnafukua Makaburi ya 2021 jamani. Ova mlichanga harusi..🤣🤣🤣Mawifi tupo very attention 🤭
🤣🤣🤣Hakutualika🤸🤸Mnafukua Makaburi ya 2021 jamani. Ova mlichanga harusi..
MashaAllah [emoji122]Wanagu ndoa imejibu, tumelata mtoto wa kiume.
Ndio kakaHuyo mke ulimpata humu?
Kuna mkenya aliimba poa tena saanaNaamini mnaendelea poa
Wacha urongooo 😂😆🤣🤣🤣Hakutualika🤸🤸
Kwani hukusoma kaka, ndio nilimpata na niko nae.Ulimpata mkuu?
Walichangia kumaliza majungu ya ubwabwa. 😂Mnafukua Makaburi ya 2021 jamani. Ova mlichanga harusi..