Dada!! Ni kwamba umechoka kutuona nyumbani au 🤣🤣
Sio kuwaona nyumbani tu nimechoka kuwaona mkikumbatia mito 😅😅😅Dada!! Ni kwamba umechoka kutuona nyumbani au 🤣🤣
Wataftaji mko wengi sana humu kila mmoja na uzi wake. Kagua nyuzi humu mtakutana wahitaji. Otherwise kila la heri mkuu.Habari. Natafuta mwenza wa maisha( mke mtarajiwa)
Naishi Moshi
Umri miaka 36
Kazi ni biashara
Mwanamke awe na sifa hizi
Awe na umri kuanzia 20-35
Alie tayari kua na familia
Mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu
Mwanamke mwenye uhitaji anicheki DM tuyajenge!
Ni hayo tu! Asanteni
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe umeshaolewa?
Asa si unajua me nna 37!Wewe umeshaolewa?
Anza kutufungulia njia my wangu🥰🥰🥰
Mimi Nina 40Asa si unajua me nna 37!
Finacial services muongeze hapo....naona anapoteza fursa hizi
Tena awe na trako ama awe flati kama tv za kichinaHujakamilisha vigezo vyote,,,, kwa mf atoke sehemu zipi??
Da financial services unaitwaFinacial services muongeze hapo....naona anapoteza fursa hizi
Usijali my wife...wewe na mie ni mpaka kuzikanaSifa zite ninazo ...ila my wangu mzabzab kashaniwahi😊