Natafuta mke

Natafuta mke

Ila nyuzi za kutafuta leo ni nyingi aisee...

luckyline ukitoka job pitia hapa kuna mambo mazuri tu huku
 
Ila nyuzi za kutafuta leo ni nyingi aisee...

luckyline ukitoka job pitia hapa kuna mambo mazuri tu huku
Asante kuniita😅 huu mwaka wetu! Ila hamjaniwahi kweli? 😉🤭Hapa nawaza huko piemu si kuna foleni? Afu sifa kidogo aisee
 
Natafuta mwenza ( mke mtarajiwa)
Naishi moshi
Umri miaka 34
Mfanyabiashara

Nahitaji mke mtarajiwa mwenye sifa hz

Umri kuanzia 25-33
Akitokea Moshi au mikoa jirani itakua poa zaidi.
Awe anajishughulisha
Mpole,mnyenyekevu , anaejiheshimu, mwenye hofu ya mungu.
Kama ana mtoto basi asizid mmoja

Mwanamke alie serious na mwenye uhitaji anicheki inbox. Asanteni!



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Natafuta mwenza ( mke mtarajiwa)
Naishi moshi
Umri miaka 34
Mfanyabiashara

Nahitaji mke mtarajiwa mwenye sifa hz

Umri kuanzia 25-33
Akitokea Moshi au mikoa jirani itakua poa zaidi.
Awe anajishughulisha
Mpole,mnyenyekevu , anaejiheshimu, mwenye hofu ya mungu.
Kama ana mtoto basi asizid mmoja

Mwanamke alie serious na mwenye uhitaji anicheki inbox. Asanteni!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Natafuta mwenza ( mke mtarajiwa)
Naishi moshi
Umri miaka 34
Mfanyabiashara

Nahitaji mke mtarajiwa mwenye sifa hz

Umri kuanzia 25-33
Akitokea Moshi au mikoa jirani itakua poa zaidi.
Awe anajishughulisha
Mpole,mnyenyekevu , anaejiheshimu, mwenye hofu ya mungu.
Kama ana mtoto basi asizid mmoja

Mwanamke alie serious na mwenye uhitaji anicheki inbox. Asanteni!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Natafuta mwenza ( mke mtarajiwa)
Naishi Moshi
Umri miaka 34
Mfanyabiashara

Nahitaji mke mtarajiwa mwenye sifa hz

Umri kuanzia 25-33
Akitokea Moshi au mikoa jirani itakua poa zaidi.
Awe anajishughulisha
Mpole,mnyenyekevu , anaejiheshimu, mwenye hofu ya mungu.
Kama ana mtoto basi asizid mmoja

Mwanamke alie serious na mwenye uhitaji anicheki inbox. Asanteni!
 
Natafuta mchumba
Naishi moshi
Umri miaka 34
Mfanyabiashara
Nahitaji mwanamke alie serious tuyajenge mwenye uhitaji wa mume
Anaejiheshimu na kujitambua
Mwenye umri kuanzia miaka 20-33. Mwanamke mwenye uhitaji karibu sana DM tuyajenge. ASANTENI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Natafuta mchumba
Naishi moshi
Umri miaka 34
Ayseee...Mangi bhana, si huko ndiko wanapodai Ke wanatafunwa na Watu toka Kunyaland sababu ya Me kuendekeza mbege na wanzuki kutwa bila ya kula msosi wa maana?

Ngoja Ke waje wakuone huko PM ili waje na mrejesho baadaye.
 
Naishi Moshi
Umri wangu 33
Mwajiriwa
Mkristo

Nahitaji mwanamke ambae atakua mke.
Umri kuanzia 25-30
Mwenye uhitaji na alie serious tuyajenge mahusiano.
Mwajiriwa au amejiajiri
Mkristo.
Mwanamke alie serious na mwenye uhitaji anicheki inbox au Whatsap kwa namba 0719010392. Asante[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
 
Ngoja ni screenshot hii post yako niiweke kwenye group la WhatsApp la wadada wa praise and worship maana wanahaha kupata Waume.
 
Sina kazi mkuu naruhusiwi kuja huko inbox[emoji849]
 
Back
Top Bottom