evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Mvaa ovaroliKuna mmoja yupo hapa katesh Kijiji cha ngwandu nikufanyie connection?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvaa ovaroliKuna mmoja yupo hapa katesh Kijiji cha ngwandu nikufanyie connection?
Cha muhimu mke
It's up to you.
Zimamoto hao[emoji4]
Zimamoto hao[emoji4]
Mimi ni kijana, nina miaka 37 kwa sasa, niliwahi kua na girlfriend tu,tukapata mtoto mmoja, tokana na changamoto za hapa na pale, tuliachana na kila mtu akawa na maisha yake, mtoto wangu kwa sasa yuko form 1.
Kazi yangu nimeajiriliwa serikalini, kwenye moja ya taasisi zake za vyombo vya Ulinzi na Usalama, nikiwa mvaa overall,
Sifa za mwanamke au binti ziwe kama ifuatavyo, awe mcha Mungu, dini Mkrito Roman Catholic, Anglicaka au KKKT sio mbaya sana. Awe na Elimu walau kuanzia form four na awe tayari kufanya hata Biashara ambayo tutakubali kuifanya Mimi na yeye! Kabila lolote tu!
Mwenye nia njema namkaribisha inbox