Natafuta mke

Natafuta mke

Kitu ambacho unatakiwa kujua ni hiki, mtandaoni kuna mambo mengi bora mme wa kukutana nae nje ya mtandao.akakuona akaridhia akakuomba no.

Mtandaoni utakuta mtu mushapeana no kumbe mfupiiii na wewe hupendi wafupi, nae wenda anataka mwanamke mwenye chura likubwa kumbe wewe huna sasa uoni hapo kuna shida? Etc etcccc
Hili nalijua mpendwa
 
Back
Top Bottom