Natafuta mke

Natafuta mke

Oistein

Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
5
Reaction score
30
Habari zenu wadada wa JF,

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.

Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa 168 cm; ninayeishi na kufanya kazi mbeya mjini; ninatafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuanzisha mahusiano ambayo yatatupelekea kuishi maisha ya ndoa (Mume na mke) na hatimaye kujenga familia imara pamoja.

Sifa za Mwanamke ninayemhitaji:


  1. Awe amehitimu kidato cha nne na kuendelea/ Certificate/ Diploma/Bachelor/Master degree
  2. Akiwa mwalimu (shule ya msingi, sekondari, au chuo; itapendeza) au Nesi wa hospital ( EN, RN/ANO, au NO; itapendeza zaidi) au Tabibu (CO, MO, au MD - itapendeza sana)
  3. AU
  4. - Awe Lawyer (mwanasheria), accountant (Mhasibu), administrator (Utawala), Askari - police trafik, askari kawaida, magereza, mwanajeshi, Usalama n.k
  5. Awe anaishi mkoa wa mbeya ( mbeya mjini itapendeza zaidi).
  6. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea hadi miaka 35
  7. Dini yeyote ile ( kikubwa ni maelewano ya dhati baina yetu - hivyo hata muislam kama ana nia ya dhati namkaribisha kwa moyo mmoja).
  8. Awe tayari kupima HIV pamoja endapo tutakubaliana kuanza safari mpya ya mahusiano ya kujenga familia bora pamoja.
Kwa yeyote aliye tayari na mwenye sifa hizo hapo juu namkaribisha ili tuungane pamoja kujenga familia bora na imara na sio bora familia.

KARIBUNI SANA PM.

ASANTE.

UPDATES.........!

Jamani wadada wa JF,


Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia?

Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ?

Au masharti yangu ni magumu ? Basi hata kama una mtoto ila upo single karibu.

Hivi hakuna ma clinical officers, medical officers au medical doctors ambao mpo single jamani ?

NOTE

Sasa napanua wigo kwa WENGINE: Uwe Lawyer karibu, Accountant karibu, administrator pia karibu , na pia hata kama ni askari karibu maana wote mna haki ya kupendwa na kuolewa pia.

So the door is open to everyone.

Karibuni Sana
 
Nasubiria hiyo pm yako hadi muda huu sijaiona.

KARIBU SANA; na wengine kama wapo wenye sifa KARIBU SANA [emoji122]

Kwani unataka wake wangapi mbona unahamasisha waje wengi wengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Share hapa why 38 na mke huna?sababu kwa maisha yako wengi wao tyr washakuwa na mke.Usigekuwa umetelekeza familia Tukuyu huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani unataka wake wangapi mbona unahamasisha waje wengi wengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Share hapa why 38 na mke huna?sababu kwa maisha yako wengi wao tyr washakuwa na mke.Usigekuwa umetelekeza familia Tukuyu huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waaache waowane huu wimbo umewahi kuusikia?
 
Habari zenu wadada wa JF,

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.

Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa 168 cm; ninayeishi na kufanya kazi mbeya mjini; ninatafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuanzisha mahusiano ambayo yatatupelekea kuishi maisha ya ndoa (Mume na mke) na hatimaye kujenga familia imara pamoja.

Sifa za Mwanamke ninayemhitaji:

  1. Awe amehitimu kidato cha nne na kuendelea/ Certificate/ Diploma/Bachelor/Master degree
  2. Akiwa mwalimu (shule ya msingi, sekondari, au chuo; itapendeza) au Nesi wa hospital ( EN, RN/ANO, au NO; itapendeza zaidi) au Tabibu (CO, MO, au MD - itapendeza sana).
  3. Awe anaishi mkoa wa mbeya ( mbeya mjini itapendeza zaidi).
  4. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea hadi miaka 35
  5. Dini yeyote ile ( kikubwa ni maelewano ya dhati baina yetu - hivyo hata muislam kama ana nia ya dhati namkaribisha kwa moyo mmoja).
  6. Awe tayari kupima HIV pamoja endapo tutakubaliana kuanza safari mpya ya mahusiano ya kujenga familia bora pamoja.
Kwa yeyote aliye tayari na mwenye sifa hizo hapo juu namkaribisha ili tuungane pamoja kujenga familia bora na imara na sio bora familia.

KARIBUNI SANA PM.

ASANTE.
Mm niko Iwambi mkuu nasubiri card ya harusi msibebane kimya kimya malafyale
 
Jamani wadada wa JF,

Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia?

Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ?

Au masharti yangu ni magumu ? Basi hata kama una mtoto ila upo single karibu.

Hivi hakuna ma clinical officers, medical officers au medical doctors ambao mpo single jamani ?

NOTE

Sasa napanua wigo kwa WENGINE: Uwe Lawyer karibu, Accountant karibu, administrator pia karibu , na pia hata kama ni askari karibu maana wote mna haki ya kupendwa na kuolewa pia.

So the door is open to everyone.

Karibuni sana
 
Jamani wadada wa JF,

Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia?

Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ?

Au masharti yangu ni magumu ? Basi hata kama una mtoto ila upo single karibu.

Hivi hakuna ma clinical officers, medical officers au medical doctors ambao mpo single jamani ?

NOTE

Sasa napanua wigo kwa WENGINE: Uwe Lawyer karibu, Accountant karibu, administrator pia karibu , na pia hata kama ni askari karibu maana wote mna haki ya kupendwa na kuolewa pia.

So the door is open to everyone.

Karibuni sana
Kwa askari unajua kupiga kwata?
 
Jamani wadada wa JF,

Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia?

Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ?

Au masharti yangu ni magumu ? Basi hata kama una mtoto ila upo single karibu.

Hivi hakuna ma clinical officers, medical officers au medical doctors ambao mpo single jamani ?

NOTE

Sasa napanua wigo kwa WENGINE: Uwe Lawyer karibu, Accountant karibu, administrator pia karibu , na pia hata kama ni askari karibu maana wote mna haki ya kupendwa na kuolewa pia.

So the door is open to everyone.

Karibuni sana
Mkuu wangu. Hongera sana kwa kujipambanua vizuri.

Nikushauri kitu?

Kama upo hayo maeneo lazima utakuwa unafahamu maeneo aina hiyo ya watu wanapenda ku hangout. Mfano mida ya lunch labda ma nurse huwa wanakula wapi n.k sasa na wewe jisogeze humo ukichangamana nao hutakosa hata mmoja.
 
Habari zenu wadada wa JF,

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.

Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa 168 cm; ninayeishi na kufanya kazi mbeya mjini; ninatafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuanzisha mahusiano ambayo yatatupelekea kuishi maisha ya ndoa (Mume na mke) na hatimaye kujenga familia imara pamoja.

Sifa za Mwanamke ninayemhitaji:

  1. Awe amehitimu kidato cha nne na kuendelea/ Certificate/ Diploma/Bachelor/Master degree
  2. Akiwa mwalimu (shule ya msingi, sekondari, au chuo; itapendeza) au Nesi wa hospital ( EN, RN/ANO, au NO; itapendeza zaidi) au Tabibu (CO, MO, au MD - itapendeza sana)
  3. AU
  4. - Awe Lawyer (mwanasheria), accountant (Mhasibu), administrator (Utawala), Askari - police trafik, askari kawaida, magereza, mwanajeshi, Usalama n.k
  5. Awe anaishi mkoa wa mbeya ( mbeya mjini itapendeza zaidi).
  6. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea hadi miaka 35
  7. Dini yeyote ile ( kikubwa ni maelewano ya dhati baina yetu - hivyo hata muislam kama ana nia ya dhati namkaribisha kwa moyo mmoja).
  8. Awe tayari kupima HIV pamoja endapo tutakubaliana kuanza safari mpya ya mahusiano ya kujenga familia bora pamoja.
Kwa yeyote aliye tayari na mwenye sifa hizo hapo juu namkaribisha ili tuungane pamoja kujenga familia bora na imara na sio bora familia.

KARIBUNI SANA PM.

ASANTE.

UPDATES.........!

Jamani wadada wa JF,


Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia?

Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ?

Au masharti yangu ni magumu ? Basi hata kama una mtoto ila upo single karibu.

Hivi hakuna ma clinical officers, medical officers au medical doctors ambao mpo single jamani ?

NOTE

Sasa napanua wigo kwa WENGINE: Uwe Lawyer karibu, Accountant karibu, administrator pia karibu , na pia hata kama ni askari karibu maana wote mna haki ya kupendwa na kuolewa pia.

So the door is open to everyone.

Karibuni Sana
Shida unataka awe mbey
 
Back
Top Bottom