Natafuta mke

Natafuta mke

Hbr Jf,

Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
  • Awe ameamua kutulia na kuanzisha familia
  • Awe mrembo wa sura
  • Asiwe mlevi
  • Umri usizidi miaka 28
  • Elimu ya chuo na kuendelea
  • Asiwe na mtoto
Sifa zangu:
  • Mkristo
  • Nina umri wa miaka 35
  • Situmii kilevi chochote
  • Nimeajiriwa, kipato cha kutosha kulea familia pia ni mjasiriamali
  • Mrefu wa wastani
Hello uko poa??
 
Back
Top Bottom