Rahimu kiwani
Member
- Jun 14, 2022
- 58
- 47
- Thread starter
- #41
AmiinKila lenye kheri mkuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinKila lenye kheri mkuu!!
Bado hata mmoja mkuuWe Mwana unaakili sana unatumia mitandao kwa faida binafsi pia, Siyo hawa wapiga zogo. Ushapata wangapi?
Atazipqta atakapo tokea na akaja kwa kuwasilianaSifa zako hujaweka, Mungu akupe haja ya moyo wako.
Asante lwa kunifarijiPole, ila usiwe disappointed mungu n mwema sana
[emoji849] Kibaya Chajitembeza.Mimi ni mfupi,mnene halafu dread zangu basi tena ndefuu .
Na kashepu kangu weee najivunia kama unachagua mbona umekosa huko sema tu.
Uwiii ongea huna lolotee
Nafuu wewe ni mzuri upo free mpaka saa hizi unatusi watu[emoji849] Kibaya Chajitembeza.
Hatupo tena single tumenenepeana kwa raha zetu eti ututusi mseme kibaya chajitembeza wewe ni malaya uliyetulia shenzi[emoji849] Kibaya Chajitembeza.
[emoji123] kua strong one day you can get good husbandAsante lwa kunifariji
Jmn achen povu mbn tunaharibu lengo????Hatupo tena single tumenenepeana kwa raha zetu eti ututusi mseme kibaya chajitembeza wewe ni malaya uliyetulia shenzi
Kwani kasema hataki chibonge?Maskini chibonge mimi
Ahaahhaha Polee[emoji12]Hatupo tena single tumenenepeana kwa raha zetu eti ututusi mseme kibaya chajitembeza wewe ni malaya uliyetulia shenzi
Ndio mkuuKwani kasema hataki chibonge?
😃😃 asanteeeVibonge msiwe na shaka wala xhaka.
Demi Unique Flower
Makaveli10, 3:17
Waacheni vibonge waje kwangu, maana hapa ndipo kila kibonge anapaswa kuwa
😂 😂
Ndio mkuu
PpKila la kheri kaka.
We jamaa mpuuzi kweli yani.Toa sifa zako!
Hutaki kibonge afu una kutambi kama mimba
Unataka mweupe wakati wewe mweusi
Umesoma???
Mke atafutwi mtandaoni acha upumbavu