Newtongift
Member
- Feb 21, 2014
- 93
- 5
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40, naishi Dodoma kwa sasa, kazi mjasiliamali, elimu kidato cha sita. Nnahitani mwanamke mwema mwenye umri miaka 24 hadi 32.
Elimu kuanzia kidato cha nne hadi PhD, mwenye kazi yeyote, mrefu wastani, mweupe au maji ya kunde asiye na rangi mkorogo (Maker up), popote Africa Mashariki; Tanzania, Kenya na Uganda, mwenye hofu ya Mungu, dini mkristu akiwa mwislamu awe tayari kubadili dini.
Aje kwa inbox or PM kwa maelezo zaidi.
Wife karibu sana.
Elimu kuanzia kidato cha nne hadi PhD, mwenye kazi yeyote, mrefu wastani, mweupe au maji ya kunde asiye na rangi mkorogo (Maker up), popote Africa Mashariki; Tanzania, Kenya na Uganda, mwenye hofu ya Mungu, dini mkristu akiwa mwislamu awe tayari kubadili dini.
Aje kwa inbox or PM kwa maelezo zaidi.
Wife karibu sana.