Natafuta mke

Afadhali utoe angalizo maana wazee wa kataa ndoa, ndoa ni utapeli, ndoa ni utumwa wakipita hapa watamshauri alichonacho ajitahidi amsaidie mama yake kingine ale bata asijaribu kukokota mtoto wa mtu mwingine awe mnyonyaji ngoja tuone
Wataanza kutoa mfano wa Harmonies na Sarah
 
mkuu samahani,..ila hii mimi haya mambo ya kutafuta wake/waume huku mitandaoni hua sikubaliani nayo hata kidogo..mke mwema na mume mwema kwako anapatikana katika mazingira yako physically umuone,umchunguze mkutane mpendane muoane..haya mambo ya mtandaoni haya ya email sjui nini sijui mnatafutaga vitu gani huku,..why msi search huko mitaani.
 
Umeanza kitusagia kunguni
 
Umejitahidi kupambana na kujijenga vyema kiasi hicho kwa miaka kadhaa, kwa nia njema tu unaamua kutafuta mwenza wa kuendeleza nae maisha, bahati mbaya baada ya miaka 4 - 5 ya ndoa anageuka Mburukenge anakimbilia mahakamani kudai talaka na mgawanyo wa mali. Ama kweli ndio ni ndoano, unaweza opoa samaki ama kitu cha ajabu ajabu tu.
 
Huyo ni version ingine πŸ˜…πŸ˜…huoni kaweka hadi email anataka economic fighter
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama nawaona mafighter wa kiuchumi wanavyoharakisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…