Natafuta mke

Kinachoumiza na kusikitisha 😩😩😩 baada ya miaka kulumbembe atakimbilia mahakamani na ustawi wa jamii + vikao vya familia na kudai talaka Kwa nguvu na Ile kauli mbiu ya tugawane Mali so sad kata NDOA puliz puliz MzeeπŸ™‰πŸ™‰πŸ™‰
 
Walio reply hapa ni wengine na huko dm watakuwa wengine kibao wamepanga zao mstari....
 
Watu wanamipango yao,acha kuwapangia cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…