Hapana huyu Ni mmoja wa miamba iliyopelekea taifa kufika uchumi wa Kati!πMagu alisema vita ya kiuchumi sio rahisi sasa mwenzetu anaimudu vip?ππππ
Niende nae wapi????
Usichotwe akili dada tangu lini mtu mwenye miradi aje atafute mpenzi mtandaoniWote wanaosema kataa ndoa ni mafukara wa kipato na fikra pia. Oa upate baraka za Mwenyezi Mungu aliye mkuu
Si huko rock City Mall unapopasemaaπ€π€, mi sikumbukiii Mara ya mwisho kwenda lini sister mawigi AntonniaNiende nae wapi??
ππππHapana huyu Ni mmoja wa miamba iliyopelekea taifa kufika uchumi wa Kati!π
Ili mkatumie laki 2, ambao ni Kodi ya miezi 6, au mtaji wa mtuπ€ͺπ, Maana hamna dogo nyie mapachaAcha hizoo Kichaa akeee Tafuta pesa utupeleke sie!
π€£π€£π€£!Ili mkatumie laki 2, ambao ni Kodi ya miezi 6, au mtaji wa mtuπ€ͺπ, Maana hamna dogo nyie mapacha
Kwani Lovelovie hajapata rich guy muende nae??, Mana mi akiii mtaniua kwa presha nikiona bill ya elfu 20π€£π€£π€£!
Acha ubahiliiiiii
Mbona hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo simtaki Mjiandae kunipeleka Rock City Mall nimepamiss sana msintanieee !![emoji41]
Sorry but you are too expensive for me Lovelovie coz uko materialistic sanaππππ
Watu wanamipango yao,acha kuwapangia cha kufanyamkuu samahani,..ila hii mimi haya mambo ya kutafuta wake/waume huku mitandaoni hua sikubaliani nayo hata kidogo..mke mwema na mume mwema kwako anapatikana katika mazingira yako physically umuone,umchunguze mkutane mpendane muoane..haya mambo ya mtandaoni haya ya email sjui nini sijui mnatafutaga vitu gani huku,..why msi search huko mitaani.