Natafuta mke

Wote wanaosema kataa ndoa ni mafukara wa kipato na fikra pia. Oa upate baraka za Mwenyezi Mungu aliye mkuu
Kwamba ukiwa humu unazijua "financial status" za watu huko nje?

After all, mwenye huu Uzi akiwa hajaoa ndio kapata mafanikio yote haya.

#YNWA
 
Nadhani hii gea ya kuwapata wadada wa kichaga ila kama ni kweli umekwisha. Huna haja ya kuanika kila kitu kwenye mtandao utalizwa na kupata boya halafu uanze kulialia
 
Vipi unaeza subiri tukuekue?πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wewe njoo kwa mimi babu yako. Nitakulea mpaka pale utakapo kua, halafu baada ya hapo nitakutafutia mwenyewe mume bora kabisa wa maisha yako. πŸ˜‡
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We ngoja apigwe na kitu kizito kichwani nimekaa [emoji117]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…