Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnavunga tu 😂 😂😂Kuliko hata chakula jamni 😀😀😀
Kweli kabisa watu wengi mtandaoni tunaonekana sio wakweli japo wachache wenye bahat kupataSi mnavunga tu 😂 😂😂
Sema Kama jamaa anataka serious relationship ambayo itamletea Ubavu wake asitumie mtandao anaonekana hayupo serious. Ataonekana ndio wale wale Hit and run
Kweli aisee!! Msemaji wa wanawake wa jf kasema nani apinge!!..Si mnavunga tu 😂 😂😂
Sema Kama jamaa anataka serious relationship ambayo itamletea Ubavu wake asitumie mtandao anaonekana hayupo serious. Ataonekana ndio wale wale Hit and run
Kwani uongo mkuuuKuliko hata chakula jamni 😀😀😀
Mkuu.Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.
Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
Leo kwa Mwamposa ukienda pale unapata type zote zipo pale mizigo,mishape kibao.Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.
Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] u nailed itLeo kwa Mwamposa ukienda pale unapata type zote zipo pale mizigo,mishape kibao.
NB:Ila pale kupata mke mwema ni sawa na kubet mkeka wa timu 20 kwa jero.
hahahahahaMbona kama kigezo namba tatu na namba tano vinapingana kabisa
Mzigo mzito hauwezi huyoo😅😅😅Naona umeamua kutangaza na mishe zako kabisa. Huyo mwamba anatafuta Ke mwenye sifa kama zako
🤣🤣🤣
Sina hakika km ni kweliKwani uongo mkuuu
1. Unatafuta wanawake 7 tofauti,Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-33.
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD).
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5. Awe mzuri na mwenye shape.
6. Awe anakaa Dar.
7. Awe Mkristo wa dhehebu lolote.
Mimi;
1. Nina degree ya IT.
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia.
3. Nina miaka 33.
NB: Ningependa kweli nipate mwanamke anayeijua na kuielewa taasisi ya ndoa na familia na atakayeweza kuviishi viapo vya ndoa.
Wadangaji na waigizaji msije PM mtakachokutana nacho msije kunilaumu.
Mpaka umri huu sijawahi kula hela ya mwanamke, ndio maana nimeweka atleast 4m4 na kuendelea,sijaweka fixed kusema PhD nazani umenielewa na sina njaa hizo mpaka nimefikia hatua hii najua mimi ni nani na wajibu wangu ni upi.1. Unatafuta wanawake 7 tofauti,
2. Mke awe na PhD Vs wewe degree ya IT? Unaonekana unaoenda mteremko.
3. Shepu na PhD mbona haviendani?
Sipo kama hao kwa kifupi ni IT upande wa Networking.Naona hapo kwenye IT ungedadavua maana siku hizi hata waweka nyimbo kwenye flash na mafundi simu wote maIT.
Hongera kuna mtu namjua yupo hiyo field now yupo Cisco. Ila nakuombea husipate wadangaji.Sipo kama hao kwa kifupi ni IT upande wa Networking.
Nenda pale Kona baaMpaka umri huu sijawahi kula hela ya mwanamke, ndio maana nimeweka atleast 4m4 na kuendelea,sijaweka fixed kusema PhD nazani umenielewa na sina njaa hizo mpaka nimefikia hatua hii najua mimi ni nani na wajibu wangu ni upi.