🤣🤣🤣🤣🤣 Duuuuh!. Angalau nimecheka Kwa sauti!, waaah sikujua hii Siri kwakwel!!Hahaha jamani ujue mnachekesha sana.
Leo ndio nimeamini kwanini mwanamke mwenye Tako ukikutana nae mtaani anakuwa na confidence kama ana degree wakati hata form four hajamaliza;
na mwenye masters degree halafu hana tako though ana maisha yake na good salary lakini anakuwa hana confidence kabisa kisa tu hana tako!
Jamani wanaume wenzagu "Good wife" is not about trakoo , tusiwatese dada zetu kutumia mchina kuongeza ma trako Ili kuridhisha wanaume
Aiseee🤒Mtafute [mention]To yeye [/mention] yupo single afu ni black Tii beut
😂😂😂DahHahaha jamani ujue mnachekesha sana.
Leo ndio nimeamini kwanini mwanamke mwenye Tako ukikutana nae mtaani anakuwa na confidence kama ana degree wakati hata form four hajamaliza;
na mwenye masters degree halafu hana tako though ana maisha yake na good salary lakini anakuwa hana confidence kabisa kisa tu hana tako!
Jamani wanaume wenzagu "Good wife" is not about trakoo , tusiwatese dada zetu kutumia mchina kuongeza ma trako Ili kuridhisha wanaume
Yaani kina tumpe wamejaa hapo kitaa anakuja kusumbua hukuApo mbeya umeshndwa kutongoza hao wanyakyusa wenye vyura?
Hawataki hao kwanini mwamlazimisha jamanYaani kina tumpe wamejaa hapo kitaa anakuja kusumbua huku
Anafeli sana uyu jamaa smuelewi kabisa cjui uku ndo atapata mkeYaani kina tumpe wamejaa hapo kitaa anakuja kusumbua huku
Sio tunamlazmisha unaachaje vyuraHawataki hao kwanini mwamlazimisha jaman
Sasa si arudi Dar uwanja wa fisi akutane na U.T.I SuguHawataki hao kwanini mwamlazimisha jaman
To yeye fursa hiyo! Bahati haiji mara tatuHabari Wana Jf.
Natafuta mwanamke ambaye yupo tayari ku settle na kuwa mke wangu halali na kujenga familia pamoja.
Sifa za huyo mwanamke ziwe kama ifuatavyo:
- Mwenye hofu ya Mungu
- Anayejielewa sio waluwalu
- Awe na elimu ya kidato Cha nne (Form four) na kuendelea hadi alipofikia
- Kama ni mwajiriwa - kada yeyote Ile ya utumishi - KARIBU SANA
- Kama single mother - mtoto asizidi mmoja.
- Uwe tayari kuolewa na sio drama
- LOCATION: nipo mbeya mjini, sihitaji mapenzi ya mbali ( distance relationship) kama upo interested and your not living mbeya town, then accept to be relocated to follow your husband not otherwise.
NB: if you're interested, your mostly Welcome, and please hit my pm for more conversation.
Dr ni wa kuongea, PhD, Kutibu au wa mifugo specify
Atapata anachotafuta NumbieAll the best
Nenda wewe kwani huitaji mumeWanakuja