Mke hawezi kula elimu yako wala ufundi wakoAnahitajika mdada kuanzia 24-30 kama yupo tayari kuanza maisha ya ndoa nipo Dodoma,, kazi yangu ni fundi wa ujenzi elimu yangu kidato cha nne, umri miaka 32
umefunga PM sasa π€£π€£π€£ hata kama barua hatuwezi letaSawa, kila la kheri π
Mimi nikitaka mume chap kwa haraka napata huku mitaani niliko, wala haina haja ya kuja huku....humu mnipe tu ushauri nikipigwa na vitu vizitoππ€£π€£π€£umefunga PM sasa π€£π€£π€£ hata kama barua hatuwezi leta
π π π na mie ni mtaani ila nipo jfmimi nikitaka mume chap kwa haraka napata huku mitaani niliko, wala haina haja ya kuja huku....humu mnipe tu ushauri nikipigwa na vitu vizitoππ€£π€£π€£
Bora tukutane mtaani ...huku uongo mwingi sana sirππ π π na mie ni mtaani ila nipo jf
π π π mie sio muongo Leejay49Bora tukutane mtaani ...huku uongo mwingi sana sirπ
Ni kweli mkuu elimu sio deal sana hasa hasa kwenye ndoa kikubwa ni kukidhi mahitaji,,, wastani wa kipato changu ni 180k -400k per month inategemea na mwezi wenyewe maana shughuli zangu sio uhakika sana japo 180k kwa kila mwezi haikosiMke hawezi kula elimu yako wala ufundi wako
Taja kipato chako kwa mwezi cha uhakika shilingi ngapi?
Kubweka ohh mimi nimesoma hadi hapa ohh mimi fundi hayo maneno matupu weka pesa unapata kwa mwezi.
π π π mie sipo hivyo hataaa... hutojutiaWanasemaga basi kama wanadanganya...unapokuja kustuka too lateπππ