Vigezo rahisi sana nakuombeaAnahitajika mdada kuanzia 24-30 kama yupo tayari kuanza maisha ya ndoa nipo Dodoma. Kazi yangu ni fundi wa ujenzi elimu yangu kidato cha nne, umri miaka 32.
Awe tayari tu kuolewa. Rangi, kabila na umbo sio inshu sana dini pia sio shida akiwa na mtoto mmoja sio mbaya.
Kama kuna mtu yupo tayari aje PM please, kama utahitaji kujuana kwanza pia vizuri.
Karibu.
hahahhahππππππ π π mie sipo hivyo hataaa... hutojutia
Hasa yale makanisa ya mbogamboga,...............'Mgeukie jirani yako mwambie leo unapata mke'................ πKwahali hiyo kanisani au msikitini ndio itakuwa rahisi.
Mimi sipo huko kabisa mkuuπππNjoo PM tujue upo mtaa gani, nipo sana Dar na Dom ndio sehemu nafanya sana kazi zangu
nakusikilizia basi konaaa π€£π€£π€£hahahhahπππππ
π π π .. mkuu kila mtu apambanie kombe lake... Leejay49 fanya namna basi ...Mkuu uzi wangu tena unautumia ww [emoji848][emoji848]
Wewe ungetafuta mwanawake wa mtaani tu huku mtandaoni wanawake wengi wanawinda wanaume successfulInawezekana ni kweli sina hela mkuu, lkn kutokuwa na hela haifanyi nishindwe kupata mke
Mfuate kiongozi wako wa dini kisha mueleze hiyo shida yako.Nieleweshe mkuu,, mm kanisan naenda sana sema kule hata kutongozi inakuwa ngumu nadhan unajuwa wanavyokuwaga serious kama malaika vile
Nakazia π―π―π―Wewe utakua huna hela,wenye hela wote hawajawah kuoa singomaza