Natafuta mke

mimi nikitaka mume chap kwa haraka napata huku mitaani niliko, wala haina haja ya kuja huku....humu mnipe tu ushauri nikipigwa na vitu vizito[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mimi nije mtaani kwako mkuu?
 
Vigezo rahisi sana nakuombea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nieleweshe mkuu,, mm kanisan naenda sana sema kule hata kutongozi inakuwa ngumu nadhan unajuwa wanavyokuwaga serious kama malaika vile
Mfuate kiongozi wako wa dini kisha mueleze hiyo shida yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…