Natafuta mke

Ila tatizo hapo kwenye "Stable economy"hapooo si atasema tuchange huyu
Acha uoga 😀😀
Ukienda kwenye intavyuu andaa na kipeperushi kusahau mezani kiwe kimeandikwa
WANAWAKE HAWAJAWAHI KUPATA HELA MILELE 😂😂😂
 
Acha uoga 😀😀
Ukienda kwenye intavyuu andaa na kipeperushi kusahau mezani kiwe kimeandikwa
WANAWAKE HAWAJAWAHI KUPATA HELA MILELE 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Vipengele vyote vya mkataba safiiii...tatizo ni hapo...
Je unahisi hiyo njia itasaidia?
 
Kigezo kingine ajue kusoma na kuandika kingereza[emoji23]
 
Wanawake wenye stable income woote siyo Wasomi, shauri yako.
 
Clock ikigonga 40 nakushauri ujipitishe pitishe kwa 50+ na si vinginevyo.
 
Njoo PM, rafiki yangu anatafuta mume.
 
Weka mshahara wako na siyo kazi:
Wanawake wanataka hela yako na si kazi yako;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…