Hapana aisee ile kitu ya kutemewa matee,moja chali anaenda kutolewa tezi dume yaani huna raha naye mpaka kanakufa mmh! HapanaHutaki pesa za pension??
Mmh unamoyoNdio, ila awe mwenye pesa
Mwanamke matunzo...π
Mmmh Sasa tukikuta nafasi zimejaa itakuwajeπ€π€π€π€π€π€?Cha msingi tuwahi nafasi halafu tukae kimachalemachale tukingojea mafao yatokeYaani kalenga penyewe....sema huyu mafao yatakuwa yako kwenye process.
Tu-asume mpaka mwezi 6 tayari atakuwa amepata mafao yake
Ndio utakuwa muda sahihi wa kwenda Pm yake.
Sahv acha wife material waanze wao kwanza....π€
Hivi nyie wadada wa JF hakuna mwenye mapenzi ya dhati?mbona wote mnawaza mafao ya mchumba badala muwaze ndoa,mkoje lakini?nilitaka nikuite babu ila nimegundua na mimi umri umeenda, sa hivi mtu ninayequalify kumuita babu awe na miaka kuuanzia 75. Officially JF hamna babu zangu kwa sasa kuna baba zangu tu.
Kila la heri baba, lakini hujatuambia
Mafao yanatoka lini?
Shoo we humuwezi kwani?Mmh unamoyo
Kwa kweliMmh unamoyo
Ila wewe ni bonge moja la jambazi.Mmmh Sasa tukikuta nafasi zimejaa itakuwajeπ€π€π€π€π€π€?Cha msingi tuwahi nafasi halafu tukae kimachalemachale tukingojea mafao yatoke
π€£π€£π€£Mi sitaki ngeu bwanaπ€£π€£π€£π€£ nikipigwa utakuja kunigombelezea
πππMjini mipango shooIla wewe ni bonge moja la jambazi.
Mbinu hii ni moja la mbinu.
Twende...πππ
Ongea taratibu na wewe au unataka kutuharibia?πsema unatafuta ombaomba
Tatizo nini wewe? Usilalamike hata wewe una qualify maana hujavuka 54.Uzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
Vigezo gani tena? Umezidi 54?Kila la kheri.
Vigezo vimetuangusha.
...akikupa picha yake nitumie....πππMjini mipango shoo
Khhhaa!!!Vigezo gani tena? Umezidi 54?
Mzee mwenzangu hali gani? Kuna huyu alinambia akipata wa kumuoa yuko tayari, yuko 53 ila ana dongo zuri anafanana na wa 45+. Yalikuwa mazungumzo tuu siyo kwa ajili ya hili tangazo. Yupo Tanga nimpe namba? Mume wake alifariki 2021. Ni mfanyakazi wa chama CCM.Nipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana