Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kulalamikaUzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
A Man is a prize, a woman is a price.Uzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2908670
Miaka 60?
Si useme tu unatafuta wa kumfia [emoji4].... Wanawake watanichukia sababu wanapenda vibabu ili vikarithi mali
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa umri huo una haki ya kutoa bandiko.
Hii ni 'kesi maalum". Kila la heri mzee.
Umeonaeeh[emoji3]Uzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
Kila la kheri.Nipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana
Hutaki wa kula nae mafao ya uzeeni?Amina
Kwa hiyo wanaokufa ni wenye miaka hiyo peke yake....???View attachment 2908670
Miaka 60?
Si useme tu unatafuta wa kumfia 😊.... Wanawake watanichukia sababu wanapenda vibabu ili vikarithi mali
🤣🤣🤣Hutaki wa kula nae mafao ya uzeeni?
Usiniambie ww sio mkweli na muaminifu dada 😂😂😂Kila la kheri.
Vigezo vimetuangusha.
Sie si unajua wapenda pesa...Usiniambie ww sio mkweli na muaminifu dada 😂😂😂
😂😂😂😂 Pesa anazo we nenda dadaSie si unajua wapenda pesa...
Ngoja niende😂😂😂😂 Pesa anazo we nenda dada
Zikiwepo usinisahau kwenye ufalme wako dada 😜Ngoja niende
Haya kipenzi changu.Zikiwepo usinisahau kwenye ufalme wako dada 😜
Mie kanivutia huyu nimehisi kama mstaafu vile😁😁😁😁Sie si unajua wapenda pesa...