Hata mke wa mtu??Habari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa😊
Huyu si kashaolewa.
Elimu imenikosesha mume leo..!
🤣🤣🤣🤣🤣AtajutaAsijaribu🤣
Atakumbana na ujuaji pro max, wadada wa jf ni wajuaji.🤣🤣🤣🤣🤣Atajuta
Nakazia..Jf ambayo nyuma ya keyboard njemba inaweza jiita pisi Kali na ukaamini?
Ukipata wawili niachie m1 bro, nakushukuru sanaHabari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi - anayeweza kujituma hata akiachiwa kazi/ biashara
Rangi- maji ya kunde au weupe kiasi
Umbo- mrefu kiasi na mwembamba (5" had 5.5")
Mimi najishuhulisha na biashara mbalimbali mjin dsm ,kwa Sasa nipo Moshi.
Nb; Niko na kiu haswa sio utani karibuni pm warembo tajwa😊
🤣🤣Ukikosa humu itabidi
1) unaenda kanisani Kuna hawa waimba kwaya. Unacheki na anaowasimamiaga mara nyingi huwa ana details za watu wake, so unamwelekeza anakuunganisha.
2) unaenda madrasa unaongea na ostaz chap anakuunganisha na mtoto wa kiarabu, most of time wanakuwaga bikra wale. Ila cha muhimu uwe serious.
Mimi nilifanyaga hiyo option 2, aise Mke ananiheshimu vibaya mno, sahivi nina katoto kamoja.